Tuesday, 18 March 2014

KALENGA:UBAKAJI NA MATESO NDANI YA OFISI YA CCM MKOA WA IRINGA: USHAHIDI HUU HAPA

Wakuu mtaniwia radhi kwa kutumia lugha ambayo siyo utamaduni wetu, nitaweka kila neno kama ilivyo bila kuongeza ama kupunguza neno, maana ni udhalilishwaji wa hali ya juu uliofanywa na Green Guards pamoja na askari wetu tuliodhani wangesimamia usalama wa raia wote bila kubagua, matokeo yake wakageuka kuwa mawakala wa wauwaji.
Endelea hapa chini...

Kutoka kwa mtanganyika mwenzetu Ganja Planter;

Yaliyofanyika Kalenga siku ya uchaguzi hayasimuliki wandugu... Baadhi ya watu wa Chadema waliokuwa huko na wamefanikiwa kurudi salama wamesimulia huku wanalia unyama waliofanyiwa na askari polisi, jeshi na usalama wa taifa wakiwa wameva nguo za kiraia na watu wakiamini ni green guard.. Vijana mawakala na Red Brigade wakike na wa kiume wametekwa na mitutu ya bastola, kubakwa na kufirwa, wamepigwa vibaya, wengine wamekimbilia porini na hawajulikani walipo... Kilichoumiza zaidi ni namna Rose Kamili alivyokuwa anapigwa mateke sehemu za siri...  Kuna kisa cha walionusurika kuchomwa moto msitu wa Nduli, mmoja alifanikiwa kuchomoka kwenye gari kupitia kwa dereva akiwa amefungwa kamba watekaji walipomuita dereva nje wakitafuta mti wa kuwafungia wawachome huku wanakidumu cha petrol tayari.. Walimtafuta msituni na tochi hawakumuona kwa hiyo dili ya kuua ikawa imeishindikana na kumuachia yule mwingine lakini akiwa amepigika haswaa!! Ni ukatili wa hali ya juu.

Mtanganyika mwingine kashuhudia haya;


Waliambiwa wafirane huku wakipigwa picha...walivuliwa nguo zote...Mgimwa aliyetangazwa mbunge naye pia alikuwepo kushuhudia. Yote yamefanyika ndani ya ofisi ya CCM Mkoa. Kwenye ofisi ya Katibu wa CCM. Mkiti wa CCM alishuhudia pia. Yule mwarabu rafiki na mkwe wa Kikwete, mfadhili mkubwa wa CCM hapa Iringa naye alishuhudia. Hadi jana usiku na leo mchana huu tumeweza kuestablish very strong eyewitness evidences.

Kuna kila sababu ya mpenda maendeleo kuchora mstari na kusema inatosha.....

No comments:

Post a Comment